Recent content by patoo2015

  1. patoo2015

    Nimepigwa na mume

    Umepigwa wapi?maana kupigwa na mume ina maana pana
  2. patoo2015

    Magufuli azuru makaburi ya babu na bibi yake, Katoma Geita Vijijini

    Sasa makaburi ya babu zake sisi watanzania yanatusaidia nini,mbona huko nyuma hatujaonyeshwa???
  3. patoo2015

    Msafara wa Mama Regina Lowassa wasimamishwa akielekea Mbeya

    Una ubongo wa panzi wewe sio bure au unafikiri kutumia makalio
  4. patoo2015

    Bodaboda na mama ntilie Mwanza wajitoa kuiunga mkono UKAWA

    Star tv hawana lolote,wanawakilisha ccm,habari zao ni za kuegemea upande
  5. patoo2015

    Ole Sendeka: Lowassa aliwalipa vijana kudeki barabara Musoma na Mwanza

    Ole sendeka ni nani bwana huyo ni juha kama majuha wengine,div zerooo
  6. patoo2015

    Tigo kuipigia kampeni CCM, kuvunja vunja line zao

    Mie nilishaacha kutumia line yao
Back
Top Bottom