Natafuta mapenzi ya kweli, lakini sipati!

Natafuta mapenzi ya kweli, lakini sipati!

Usijali utapata but jichunguze wewe kwanza una tatizo gani mpaka inakua hivyo kwa kila mwanamke unaempata.
 
wewe ndo una tatizo mkuu kwasababu bado upo tied to your past huja get over bint aliekukimbia ili aolewe na pia it seems hata ukiwa na mpenzi hua huonyeshi ishara zozote za kuoa...

mind you: wanawake wengi sio wote wanapenda kuolewa tena kwa harusi ko jichunguze.
na kua husband material hakupimwi kwa kutolala na wanawake wanao jilengesha kwako tu kuna vitu vingi sana mkuu ko piga moyo konde...

well said, nimekuelewa vizuri saana mkuu wangu....
 
Badala ya kuomba uchumba unaomba papuchi!
Either modify your dreams or magnify your skills
Tatizo ni wewe.

Badala ya kuangalia the inner beauty,
Unaangalia outer beauty!
Tatizo ni wewe.

Badala ya kutafuta wako umkamilishe.
Unatafuta aliyekamilishwa na wengine!
Tatizo ni wewe.

True INTIMACY can NEVER be achieved without personal COST,
But the benefits outweigh the PRICE
 
Don't look for someone who truly loves you. But rather love someone truly
 
Huyu jamaa bana sijui yukoje!!!! Wife material ndo nini sasa? Unakula vichwa weeeeee alafu unataka material.na uliowala na kuwamwaga waolewe na nani? Acha ubadhirifu wa wanawake.
 
ukitaka mapenzi ya kweli anza wewe kwanza kutoa mapenzi ya kweli. Reflection of good love is always good love
 
Ninavyoelewa ukirstu agreement pekee inayoruhuxu tendo la ndoa ni ndoa iliyofungwa kanisani. Hizo agreement nyingine ni uzinzi na uasherati. Sikuhukumu, tuko wengi kwenye kundi hili.
labda nikuambie tu sina tabia ya uasherati au uzinzi, ni mkristo ninayejielewa na nina hofu ya Mungu sijawahi kushiriki ngono na gal ambaye hatujawa na agreement maana natambua tendo la ndoa ni ibada huambatana na mkataba hivyo unaweza ukajikuta umeingia katika mkataba usiouelewa.....
 
Ni mwaka wa pili sasa nipo single toka nilipoachana nampenzi wangu akakimbilia kuolewa.

Sasa nimekuwa nikitafuta msichana mwenye mapenzi na upendo wa dhati tokea moyoni yaani hawapatikani zaidi naambulia ngono.

Kinachonishangaza zaidi ni wepesi wa wasichana kugawa tunda tena bila hata agreement yeyote ile, imefika sasa nahitaji material wife hapatikani wengi wapo tayari kujirahisisha kugawa hovyo tena bila tahadhari juu ya afya zao.

Sielewi mabinti wa leo mnapoelekea.
we mwenyewe ni dhairi sio material Man, sasa utapataje material wife? Jitathmini kwanza
 
Tatizo lako unaonba ngono badala ya mapenzi tofautisha kwanza
 
Back
Top Bottom