Mimi ni mjasiriamali mdogo ninatengeneza chama za watoto (jamii ya popcorn kwa kizungu corn puffs). Pakti ziko designed kuuzwa sh 200 Moja kwa muuzaji wa mwisho, wewe kama wakala nitakuuzia shilling 120 kwa bei ya jumla wewe utauza 160 kwa wateja wako ambao watauza 200.
Wateja
Ni walimu...
Kokote unakotaka ndio gia usiwashtukie mm nlikutana nao 2017 nlipiga interview online wakanipa mkataba mshahara million 5. Ila natakiwa kufanya hio test ilikua dola 300 enzi zile. Sema nilitafuta mawasiliano ya huo mradi head office ilikua Chicago, walinijibu Wana branch Kenya na Zimbabwe tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.