Recent content by Path Finder

  1. Path Finder

    Serious: Wapi nitapata water pump zinazotumia solar power?

    Jaribu Davis&Shartlif (spelling inawezekana nimekosea) ila wapo pale makutano ya kamata - kaliakoo
  2. Path Finder

    Basi la Majinja lagongana uso kwa uso na Lori, Kontena laangukia Basi

    Inasikitisha sana. Unaweza ksema kuwa Tanzania hatuna utaratibu wa ukarabati baada yakubidhiwa mradi uliokukamilika mfano uwanja mpya wa taifa, hata nyasi zinatushinda kuzitunza hali tunapata mgawo wa michezo inayofanyika
  3. Path Finder

    Namba gani imekosekana hapa?

    Imekosekana namba 2
  4. Path Finder

    Road Traffic Act document

    Mkuu MaxMase ubarikiwe sana.
  5. Path Finder

    Road Traffic Act document

    Kwa kweli nami nilijitaidi (kipindi fulani) kuitafuta bila mafanikio, hope wanajamii watatoa msaada unaostahili
  6. Path Finder

    Nahitaji mwanaume wa kula ne bata tu!!!!!!

    hiyo ndio wanaita nsa (no string attached)
  7. Path Finder

    Hoja ya Mnyika haina faida kwa CHADEMA na UKAWA wapizani tunataka kura ya maoni

    Nikweli, Kijipanga kwa kila jambo ndio mpango mzima!!!!
  8. Path Finder

    Tuwachore................

    Nimeipenda kwa kweli!!!
  9. Path Finder

    Kuna tofauti gani kati ya gasoline ,unreded na petrol

    Ni kweli mdau Riz. Zipo gesi kwa ajli ya matumizi ya viwandani kama kukatia na pia kuungia vyuma. Aina hii ya gesi huitwa acetylene (kitaalam) ambapo mara nyingi hutumika pamoja na gesi ya oxygen (yaani unakuwa na mitungi miwili, mmoja acetylene na mwengine oxygen). Pia gesi asilia (natural gas)...
  10. Path Finder

    Kuna tofauti gani kati ya gasoline ,unreded na petrol

    Wana JF. Ni kwamba mafuta ya petrol kwa kidhungu au kitaalam yanaitwa GASOLINE. Sasa hiyo gasoline ina 'grade' au madaraja.Daraja la kwanza ni premium ikifuatiwa na regular. Madaraja yote hayo yasipochanganywa na zebaki (lead) huitwa unleaded gasoline. Regular sio kwamba ni machafu kama wadau...
  11. Path Finder

    Msaada: Kwa wadau wa Ujenzi na Wajenzi

    Mkuu ningepata jina la mtaa au eneo waliopo ingekuwa msaada sana kwangu.
  12. Path Finder

    Msaada: Kwa wadau wa Ujenzi na Wajenzi

    Nipo Dar, site ipo kibada
  13. Path Finder

    Msaada: Kwa wadau wa Ujenzi na Wajenzi

    Wadau nahitaji vifaa kwa ajili ya kufanya wiring kwenye ka-ujenzi kangu (nyumba) ambavyo ni 'genuine and high quality'. Kwa mwenye taarifa wapi nitavipata, tafadhali nijuze, ikiwezekana na bei zake. JF hakuna kinachoshindikana!!!!
  14. Path Finder

    NBC ndio Benki Ya Hovyo Hapa Mjini Kuliko Zote it Should Be Closed!!

    Nilifikiri ni mimi tu ndio mwenye bajati mbaya na wahudumu wa tawi la Corpolate kumbe hata matawi mengine mambo ni hivyo!!!
Back
Top Bottom