Recent content by Pastor Pascal Linus

  1. Pastor Pascal Linus

    Mwigulu Nchemba avuliwa skafu na Spika!

    Aliivua!?/ tupe kilijojiri baada ya amri
  2. Pastor Pascal Linus

    Freeman Aikael Mbowe: Nguli wa siasa za Tanzania na mwanasiasa mahiri na shupavu

    UKAWA kiama cha wasaliti wote kweli Mbowe mwanamageuzi wa ukweli waliorubunika kwa bakshishi ndo kwishney
  3. Pastor Pascal Linus

    WARIOBA: Msimtumie Nyerere kama hirizi

    Ni kweli kama katiba itaundwa kwa hila na ujanja haitadumu miaka 50. Itaishia kurekebishwa kila Mara.
  4. Pastor Pascal Linus

    Satelite za Australia zaona mabaki ya ndege yakielea

    Hawana uhakika mpaka sasa kuna ndege na manuari zinelekiea huko kuthibitisha. Ngoja tusubiri watupe matokeo kamili....
  5. Pastor Pascal Linus

    Sitta avunja kanuni kumhujumu Warioba. TBC wahusishwa, UKAWA waja juu

    Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki JMR ya mungano Tz. Amen.
  6. Pastor Pascal Linus

    Prof. Baregu azungumzia kadhia ya Zitto Kabwe

    Huyu mzee amekijengea chama heshima kubwa sana lakini salsa amekengeuka inabidi kumpuuza tu maana anazeeka vibaya sasa nae ndo fungu amechagua tumuache. He has nothing to lose now.
Back
Top Bottom