Recent content by passionate 7

  1. P

    Why am I a bachelor?

    Badilisha iyo title mkuu, andika WHY AM I A BACHELOR?
  2. P

    Wazungu tunaogombania nao dalalada wamemkosea nini mwenyezi Mungu?

    Siku moja ukiwa kwenye kitanda cha mauti yako utakuja kukumbuka na kujutia haya maneno yako huku ukilia kwa dhiki kuu iliyojaa uchungu, ndipo utatamani kirudi JF ili urekebishe ulichokiandika lakini utakuwa umechelewa. Ninakuombea neema utoke kwenye kifungo cha upofu, maana shetani amekupepeta...
  3. P

    Ufadhili wa masomo kidato cha Tano na Sita

    Itategemea na performance yake (trend ya huko anakotokea)
  4. P

    Ufadhili wa masomo kidato cha Tano na Sita

    Hakuna hela ya fomu! HAKUNA hela yoyote zaidi ya madaftari
  5. P

    Ufadhili wa masomo kidato cha Tano na Sita

    Wasalaam! Bila Shaka hamjambo katika jukwaa hili. Kwa wazazi wenye watoto wanaotaka kujiunga na kidato cha tano. Taasisi ya Kanisa tunatoa ufadhili bure kwa wanafunzi wote wenye Daraja la Kwanza. (Division One) Ufadhili huu ni kwa miaka miwili (Form 5 & 6) Kwa TAHASUSI (combination) zote...
  6. P

    Orodha ya Vipodozi vilivyopigwa Marufuku Tanzania

    MSAADA je Bronze nayo ni banned?
  7. P

    Ajira za walimu: Serikali kuajiri kwa kuangalia kigezo Cha umri wa mwombaji na sio mwaka wa kuhitimu chuo

    Hili naona watu hawalioni. Si kila aliyechelewa kumaliza alikuwa anapiga mishe mtaani
  8. P

    Ajira za walimu: Serikali kuajiri kwa kuangalia kigezo Cha umri wa mwombaji na sio mwaka wa kuhitimu chuo

    Solution katika Hili. Waruhusu wote wenye sifa waombe kuanzia mwaka 2015-2021
  9. P

    Ajira za walimu: Serikali kuajiri kwa kuangalia kigezo Cha umri wa mwombaji na sio mwaka wa kuhitimu chuo

    Vizuri. Lakini je watoto hao waajiriwe pasipo kuweka kigezo hata kimoja? Au watoto hao waajiriwe kwa kuzingatia GPA 3.0+
  10. P

    Ajira za walimu: Serikali kuajiri kwa kuangalia kigezo Cha umri wa mwombaji na sio mwaka wa kuhitimu chuo

    Amina Nani watalalamika wakati wote watakuwa wamepewa fursa ya kuomba?
Back
Top Bottom