Siku moja ukiwa kwenye kitanda cha mauti yako utakuja kukumbuka na kujutia haya maneno yako huku ukilia kwa dhiki kuu iliyojaa uchungu, ndipo utatamani kirudi JF ili urekebishe ulichokiandika lakini utakuwa umechelewa.
Ninakuombea neema utoke kwenye kifungo cha upofu, maana shetani amekupepeta...
Wasalaam!
Bila Shaka hamjambo katika jukwaa hili.
Kwa wazazi wenye watoto wanaotaka kujiunga na kidato cha tano.
Taasisi ya Kanisa tunatoa ufadhili bure kwa wanafunzi wote wenye Daraja la Kwanza. (Division One)
Ufadhili huu ni kwa miaka miwili (Form 5 & 6)
Kwa TAHASUSI (combination) zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.