Kweli yaani magaidi wa kipalestina wanapoirushia Israel maroketi na kuwachoma visu mayahudi dunia ipo kimya lakini Israel ikijibu mashambulizi dunia yote itapiga kelele na kuilaani Israel inawakandamiza wapalestina
Ila Mimi ninaomba takukuru wamchunguze Mbowe hizo tuhuma za ruzuku ya chadema, wabunge kukatwa 500000 na viti maalumu 1000000 kuchangia pamoja na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.