Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

That ---I suppose --- will be the starting point for Israel to perish.

Many Westerners are fed up with Israel cunninngs,brutality etc. It is only their governments which support the barbaric zionist regime.
Na huo ndio utakuwa mwisho wa Dunia sasa ,Masihi anarudi kuchukua walio wake,usiseme hukuambiwa,Israel ni saa ya Dunia
 
Na huo ndio utakuwa mwisho wa Dunia sasa ,Masihi anarudi kuchukua walio wake,usiseme hukuambiwa,Israel ni saa ya Dunia

Huyo Masihi alishakuja na kuondoka kwani kuja kwakwe imeanhdikwa itakuwa kama kuja kwa Mwizi--- na alipokuja aliwachukua waliowake au tuseme aliwaandaa watu waliompokea na kumkubali na bado hadi leo watu wanaendelea kumpokea.

Watu wengi pamoja na wewe mnafikiri masihi atakuja katika "literal sense" lakini hamjui kuwa ujio wake ni ""metaphorical sense" kwa maana sio huyo Masihi Yesu ndiye atakayerudi bali atarudi mtu mwingine mwenye dhati ya roho (spiritual power) ya huyo Masihi Yesu, ndio nasema mtu huyo kisha kuja na kuondoka kama Mwizi na watu wasimtambue. Watu wa kabla yako walimsubiri weeee na walikufa bila kumuona huyo Masihi Yesu akirudi na wewe utasubiri hadi mauti yakufike bila kumuona, zinduka saa ndio hii.

Usiseme sijakuambia.
 
Ha ha ha ha vipi kuhusu ndoto yake ya kuvishambulia vinu vya nuke vya iran huyu ndio kiongozi aliyeitia aibu ndani ya utawala wake wapiganaji wa hamas wamefanikiwa kuiteka gaza sasa mdaa huu anarudi uraiani pia hii game inachezeshwa na iran kwanza mchezo ulianzia kwa trump now umemalizikia kwa netanyau msicho kijua ni majasusi wa iran wapo kazin
Game inachezwa na iran.? nope
shida ya israel sio rais ni mfumo.
yaani ats rais awe ni mti.. kama mfumo unatala afanye jambo fulani atafanya tu.
 
angekuwa anaingia vitan yeye peke yake sawa lakin kama anawatumia wanajeshi wa israel tulio wazoe basi hakuna jipya hapo
ni former veteran. amepigana vita vingi kabla ya kuingia kwenye siasa.
Yeye pamoja na nyetanyahu wote walikuwa ni makimando wa kikosi maalum.
 
Hakuna mapumziko ana kesi ambazo hazikuanza mchakato wa kimahkama kutokana na hadhi yake ya upm kwa vile kaacha ofis analazimika kukabiliana nazo mpaka kieleweke.
Na hicho ndicho kilikuwa kinamfanya atake kug'ang'ania madarakani - hivi sasa hana ujanja atafungwa tu.
 
Hivi Hitler alikuwa mpalestina ?mbona wafia dini wanamsifu kama shujaa wao aliyewaua wayahudi

Mkuki kwa nguruwe-----🤣

Hitler alipoua Waisraeli alionekana mnyama lakini haohao waisraeli leo wakiua Wapalestina Wanaonekana ni binadamu na mashujaa.
 
huyu kafir naona alikua anaua Waislam wa mwisho mwisho laanatullah huyo
Yaani waisilamu watu wa hovyo sana na hiyo Imani yenu ya kishetani hivi kwanini mnapenda kuwaita wakristo majina ya ajabu ajabu as if ninyi mnamkataba na MUNGU kuwa mko sahihi kwenye ibada zenu?? Magaidi wote duniani ni waisilamu ajabu mnajiona mko karibu na Mungu kuliko dini zote
 
Yaani waisilamu watu wa hovyo sana na hiyo Imani yenu ya kishetani hivi kwanini mnapenda kuwaita wakristo majina ya ajabu ajabu as if ninyi mnamkataba na MUNGU kuwa mko sahihi kwenye ibada zenu?? Magaidi wote duniani ni waisilamu ajabu mnajiona mko karibu na Mungu kuliko dini zote
kwani KAFIR maana yake nini?

na GAIDI maana yake nini?

hasira peleka kwa mkeo jombaa huku ni mitandaoni

Sent from my COL-L29 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom