Habari ya jioni kufanya sampling ya udongo inatakiwa uchukue sample 3 za sehemu tofatuti tofauti za shamba pia zenye sehemu tatu kwa kila sample kwa maelezo zaidi unaeza nicheck kwa WhatsApp 0765113160
Papai kwa sasa zimekua si nyingi ukilinganisha na miaka 2 iliyo pita kwasababu wakulima wengi wa DSM mashamba nikama yamechoka na hali ya hewa imekua si rafiki sana production imepungua kiasi .Shida ipo kuanzia kwenye soil mpaka production lakini ni vyema sasa wakulima kufanya crops rotation kwa...
Habari yako tunaweza tafutana kama huto jali naweza kukusaidia kupata sehemu ya kulima pia naushauli mwingine wa kilimo unachotaka kufanya mimi ni bwana shamba asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.