Recent content by Pascal paul

  1. P

    Jinsi gani ya kuchukua sampuli ya udongo wa kupeleka maabara?

    Habari ya jioni kufanya sampling ya udongo inatakiwa uchukue sample 3 za sehemu tofatuti tofauti za shamba pia zenye sehemu tatu kwa kila sample kwa maelezo zaidi unaeza nicheck kwa WhatsApp 0765113160
  2. P

    Mtaalamu wa usahauri kuhusu mapapai ya kisasa

    Papai kwa sasa zimekua si nyingi ukilinganisha na miaka 2 iliyo pita kwasababu wakulima wengi wa DSM mashamba nikama yamechoka na hali ya hewa imekua si rafiki sana production imepungua kiasi .Shida ipo kuanzia kwenye soil mpaka production lakini ni vyema sasa wakulima kufanya crops rotation kwa...
  3. P

    Mtaalamu wa usahauri kuhusu mapapai ya kisasa

    Nadhani naweza kusaidia kwa hilo text me WhatsApp 0765113160
  4. P

    Naomba kusaidiwa mwenye elimu ya kilimo cha tikiti, ipi miezi mizuri ya kuanza kilimo hicho?

    Gharama zinategemeana na mahali ulipo kwenye maswala ya mashamba kulima pamoja na system za maji
  5. P

    Natafuta Miche ya minazi mifupi ya kisasa

    Kipo pwani hapo jina chambezi institute of research nicheck kwa namba hii 0652609525
  6. P

    Natafuta Miche ya minazi mifupi ya kisasa

    Kunakituo kimoja cha utafiti wa kilimo cha minazi ambacho naweza wasaidia kuwapeleka maana niliwahi kua pale utapata
  7. P

    Ushauri wa haraka nalima matikiti sasa

    Habari yako tunaweza tafutana kama huto jali naweza kukusaidia kupata sehemu ya kulima pia naushauli mwingine wa kilimo unachotaka kufanya mimi ni bwana shamba asante
  8. P

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Hit kazi yake kubwa kuongeza ubora wa mazao yako kama kuongeza uzalishaji kufanya tunda kua naubora zaidi
  9. P

    Mimi ni Mtaalamu wa kilimo

    Ndio linaitwa jua sili ya Mali...?
  10. P

    Mimi ni Mtaalamu wa kilimo

    Yah nime download tayari
  11. P

    Mimi ni Mtaalamu wa kilimo

    Hiyo nikama mbolea ambayo ina virutubisho vyote ambavyo vinachangia mmea kuzaavizuri zaidi
  12. P

    Mimi ni Mtaalamu wa kilimo

    Mbona nashindwa kujoin group kaka
Back
Top Bottom