Sawa ndugu lakin 4 my side kufany tena izi business ambazo hazionekani bora ufanye kilimo uone kabixa maybe mvua imezidi mavuno yakawa kidogo na unaona mwenyew kuliko hizi lakin si mshauri MTU asifanye ila ni mtazamo wng tu mana nishajaribu ni kaona kwhy sio mgeni wa mamb hayo.asante kaka
Mmh haya mamb km ya kitapeli tapeli wazungu wanatuibia kwa akili nyingi wanatufany kuwa fursa kwao. Mwaka Jana December 28 nilijiunga na onelife onecoin nikatoa hela zangu nikaambiwa baada ya miez miwili mamb yatakua Tayar. Duh ikafika Mara miez mi 4.. Hakuna kitu saiv nisakaata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.