Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikijiuliza swali hili maana ni mwaka sasa umepita tangu niajiriwe nakatwa kiasi flani kama marejesho ya deni hilo na hili lilifanyika miezi mitatu tu baada ya kuajiriwa, yaani hata sijajipanga tayari wameshaupunguza mshahara, ila ni vizuri kwani wengnie maskini kama...
Msimuhukumu inawezekana ni mkuu wa shule so lile jipu alilolitumbua magufuli la elimu bure kwa kutoa michango ambayo baadhi ya wakuu ilkuwa ndio dili lao inawzezekana kabisa hvyo vyumba vlivyobaki ikawa ndo majaaliwa tena
Kwan hao aliowateua aliwaomba ushauri? Au mmetumwa? Kwan yeye hamjui? Hata hvyo kama aliondolewa kwa kashfa ya kibaguzi tena ya kdn ambayo ni hatar si busara kumrejesha watendaji wazuri wapo wengi endelea na upembuzi wako yaknifu mr prezdaa
Jaman nyi mabepari em kuen na chembe ya ubnadam hata km kutafuta hela c kihivyo mnataka kumkamua ndama maziwa? Tuachien ufukwe wetu wa kujdai som tym tunatoka mburahat,manzese,tandka,mbagala,tandale n.k kujrusha hata kw mguu tunaenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.