Recent content by Parazello

  1. P

    Naomba kujua jinsi ya kufanya activation ya Windows 10

    unawezaje ku ignore "Activate Windows"? I wish ningeweza. Kila jambo kidogo uukifanya inakataa, nimejaribu kuiambia iweke icon ya "My Computer" kwenye desktop, inanambia hizi my computer settings/properties kuzibadili kwanza activate windows.... Sasa inakataa kitu kidogo kama hicho, je ukija na...
  2. P

    An operating system wasn't found-try disconnecting...

    tunapata wapi windows isiyohitaji kuingiza serial ?
  3. P

    Mbona sielewi maisha yanavyoenda, wakuu, nyie mnaishi vipi mtaani?

    Kupitia hicho kikombe sio tatizo, tatizo ni kama hauko katika mchakato wowote wa kuondokana nacho. Unatakiwa ufe ukijaribu kuondokana nacho.
  4. P

    Idris Sultan: Milioni mia sita ziliisha nikashindwa mpaka kulipa kodi nikarudi kwa mamdogo Kimara

    na mimi sijaelewa mpaka 2017 April anaishi kwa mshkaji anakula tambi na nyanya, mshahara wake Clouds take home ni laki tatu, mara vuuup 2018 kaingiza milioni 300! Kwa mtaji gani?
  5. P

    Kluger 2900cc vs Prado 2490cc?

    Landcruisers ndio zinamudu safari ndefu? Kwani hizi Kluger, Subaru Forester, Xtrail, Mark X, Vanguard, Noah.... ukipiga nazo ndefu, Dar - Songea au Dodoma - Kigoma zinachemsha njiani? Eeeeh? "Wamarekani wana mabarabara mazuri kwa hiyo wanataka gari zinazochanganya haraka"! Kwani gari kubwa...
  6. P

    Kluger 2900cc vs Prado 2490cc?

    matumizi gani ya Wamarekani yanafanya wapende magari yenye engine kubwa, kuvutana wakikwama? au wanasanya vichwa njiani kupunguza makali ya maisha?
  7. P

    Tanzia: Mchunaji Morris Cerullo wa Marekani, afariki dunia akiwa na miaka 88

    Mtumishi wa Mungu Morris Cerullo ameacha mjane wa ndoa ya miaka 68 iliyobarikiwa watoto watatu waliokulia katika familia ya kikristo, upendo na amani. Morris mwenyewe akiwa mtoto alipoteza wazazi kwenye ajali ya gari na hivyo kupelekwa kuishi kwenye majumba mbali mbali ya yatima, ambako...
  8. P

    Hamisi Shaban Taletale aka Babu Tale, fanya hima ujenge kwenu hii nyumba ni aibu kuu

    ni wao wenyewe wanataka wafuatiliwe maisha yao... kwenye kurasa zao mitandaoni kuna kitufe cha FOLLOW na umaarufu wao unapimwa kwa wangapi wanafuatilia maisha yako, FOLLOWERS sasa huwezi kufiwa ukasema leo msini follow maisha yangu... na kijana wa Tandale mbona simwoni pembeni ya jeneza...
Back
Top Bottom