Alivyo kiuhalisia,hali imesababishwa na wew,,emotions za wanawake ni rahisi kuzitoa nje,pale unapokuwa umemuudhi,,sasa we badilisha ,utaratibu,badilisha,unavyomtreat,na yeye automatically atabadilika,unaposema ukimuudhi kidogo yeye ni matusi,,kwa upande wako unaona ni kidogo,Ila kwake ni...