Crdb benki sisi ni wateja wenu na mnajua kabisa bila sisi wateja mambo yenu yatakwama, sasa hapa Kaliua hali ni tete hususani kwenye utoaji huduma.
Mfano ni leo tarehe 05.06.2023 hapa tawini kuna wateja wengi hasa kutokana na wananchi wengi kulipwa malipo yao ya fedha za tumbaku sasa...
Umeongea vizuri sana hatuna budi kujiuliza pia,huenda kuna shida huko kwenye hayo maeneo ya kutoa huduma za afya. Pasi na shaka yanayozungumzwa huku kwetu wananchi ni tofauti na maelekezo wanayokutana nayo watendaji katika maeneo yao ya kazi. Nalaani kwa nguvu zote hilo tukio lililokosa utu na...
Kama nimekuelewa hivi hasa hapo uliposema "TASK FORCE" hii ilitumika vibaya, ilinyanyasa na kudhulumu sana wafanya biashara,maana watu walifinywa na pesa kuchukuliwa kwenye akaunti zao bila huruma wakidhani kila mwenye pesa basi kaiba au kakwepa kulipa kodi njia ambayo haikuwa sahihi.
Lakini pia Azam wana tatizo kubwa la kuto update chaneli zao baada ya kulipia na hasa ukilipia siku ambazo muda wa kifurushi umeisha. Wawe systematic kama ving'amuzi vingine mbona DSTV hata kama muda umeisha lakini ukilipia hawachelewi kuwasha lakini Azam ni KEEEROOOOO
Tuko busy na Corona kwanza achana na hayo mavyeo bandia hakuna kitu hapo nyota zinazoeleweka ni JWTZ peke yake. Hayo manyota mengine ni utumbo tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa kama mdau wa maendeleo ninaezunguka maeneo mbali mbali nchini naomba mamlaka zinazohusika zifanyie kazi hiyo Barabara inayounganisha Kijiji cha Usinge kilichopo Wilayani Kaliua na Barabara kuu inayotoka Tabora kuelekea Kigoma katika center inayoitwa Kibaoni maarufu kama njia panda ya...
Mungu hawezi kuwa na mipango ya kipuuzi ya namna hiyo,tuache kumsingizia Mungu bhanaaa,makosa mengine ni watu kutokuwa serious na professional zao. Hivi mnadhani Mungu ni mpuuzi kiasi hicho kila kifo basi ni kumsingizia yeye tu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kupepesa macho naomba Waziri Ummy Mwalimu uifuatilie kwa karibu sana Hospitali hii ya Kitete kuna uzembe sana hapo kuna Mpiganaji namfahamu alipata madhara akiwa kazini kwa kujeruhiwa na risasi na majangili lakini mauti yalimkuta akiwa hapo kwa uzembe wa wazi wazi kabisaaaa,kwa wanaoijua...
Sawa tumekupata lakini usiwe unakaa kwenye vijiwe vya kupoteza mawazo,mawazo huwa hayapotei ukiboreka soma vitabu,sikiliza video zakukujenga kifikra,tafuta namna ya kupata maarifa mapya achana na hao wapuuzi wanaokaa vijiweni kupoteza mawazo na kupiga soga!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namna tunavyokwenda kipindi hiki sidhani kama yanayoandikwa kwenye bajeti zetu ndio yanayofuatwa,naona kila mmoja anajikurupukia tu kufanya mambo. Twendeni tu hivyo hivyo si ndio tulivyoamua tutafika tu yakiharibika tutarekebisha mbele ya safari.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.