5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni,
Nilikua mitaa ya kitangiri madukani hapa Mwanza kwenye kijiwe kimoja cha kupotezea mawazo,
Aisee imeanza kimasihara tu ubishi ubishi kati ya Iran na USA nani mbabe,
Kitu cha kushangaza mabishano haya yameingiza hadi udini jambo ambalo ni hatari kabisa,
Jamaa mmoja asiye mstaarabu ameanza kuingiza na mambo ya ukafiri kwenye haya mazungumzo sasa kauli hii iliwaboa watu jamaa amejikuta akila kichapo kwa sekunde kadhaa kabla ya raia wema kwenda kusuruhisha,
Nilichogundua kuna watu bado ni wajinga hii nchi yaani mambo ya Iran na U.S.A ndio watu wanatwangana?
Halafu nimegundua kuna watu hawana akili kabisa na wamekalilishwa udini usio na tija na hawajui mabishano yaani mabishano ya kawaida tu lakini mpaka mtu kaiingiza udini na mambo ya ukafiri tena, huyu jamaa nilikua namvutia wangemchelewesha ningemtandika mimi,
Tuacheni ushamba wa kidini watanzania
Vita iko mambele lakini wajinga wachache eti wanapigana
Amaa kweli hii ni wedi war III
Nilikua mitaa ya kitangiri madukani hapa Mwanza kwenye kijiwe kimoja cha kupotezea mawazo,
Aisee imeanza kimasihara tu ubishi ubishi kati ya Iran na USA nani mbabe,
Kitu cha kushangaza mabishano haya yameingiza hadi udini jambo ambalo ni hatari kabisa,
Jamaa mmoja asiye mstaarabu ameanza kuingiza na mambo ya ukafiri kwenye haya mazungumzo sasa kauli hii iliwaboa watu jamaa amejikuta akila kichapo kwa sekunde kadhaa kabla ya raia wema kwenda kusuruhisha,
Nilichogundua kuna watu bado ni wajinga hii nchi yaani mambo ya Iran na U.S.A ndio watu wanatwangana?
Halafu nimegundua kuna watu hawana akili kabisa na wamekalilishwa udini usio na tija na hawajui mabishano yaani mabishano ya kawaida tu lakini mpaka mtu kaiingiza udini na mambo ya ukafiri tena, huyu jamaa nilikua namvutia wangemchelewesha ningemtandika mimi,
Tuacheni ushamba wa kidini watanzania
Vita iko mambele lakini wajinga wachache eti wanapigana
Amaa kweli hii ni wedi war III