Hapo hapo ngoja nijiunge mkono,
Nina mshikaj tullikuwa nae wakat tunajisaka,,,,sawa eeee miaka miwili yy tyr akawa njema kbsa,gar la kumtembelea,quanter ya mizigo,jengo zuri la kisasa,viwanja nyomi,mashamba makubwa ufugaji mkubwa sijui nikuambie nn,,,
Miaaka imakatika huu mwaka wa 10 nimeonana...