Recent content by Papushikashi

  1. Papushikashi

    TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Iringa mjini, Frank Nyalusi afariki Dunia

    Dah aliniuma sana huyu kamanda 😭 Apumzike kwa amani
  2. Papushikashi

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Hii vita ni kubwa, mama gwajima tumpe sapoti maana huyo uncle t anajihamini kupitiliza mpaka maswali yanakuwa mengi
  3. Papushikashi

    Iran yafanya Operesheni ya kijasusi ndani ya Israel na kumuua waziri

    hivi kwenye futari mnachanganya bhangi au shisha?
  4. Papushikashi

    Gharib Mzinga apunguze kutoa historia kwenye mechi, atangaze mechi bhana

    Napenda sana utangazaji wake huchoki kumsikiliza
  5. Papushikashi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ila hawa pro Iran ni wajinga sana Kuna kijiwe kimoja nilikuwepo jana baada ya futari wakaanza kudanganganyana eti Iran kampa kichapo Israel mpaka raia wa Israel nchi nzima wanaandamana kumuomba msamaha Iran awasamehe...😀 niliamua kukaa kimya maana ningewapa uhalisia wa mambo wangenipiga mawe
  6. Papushikashi

    Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Sio yule mzimbabwe ambaye kafungiwa account yake
  7. Papushikashi

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    huyu kichwa embe hajawahi kuwa na akili kwahiyo usimchukulie serious
  8. Papushikashi

    Wakatoliki hawana ubaguzi wako na rational judgment.

    hakika...hata wale waliokuwa wanapandikiza hoja ya udini hapa wamepigwa knock out hawana chakusema
Back
Top Bottom