Ila hawa pro Iran ni wajinga sana
Kuna kijiwe kimoja nilikuwepo jana baada ya futari wakaanza kudanganganyana eti Iran kampa kichapo Israel mpaka raia wa Israel nchi nzima wanaandamana kumuomba msamaha Iran awasamehe...😀 niliamua kukaa kimya maana ningewapa uhalisia wa mambo wangenipiga mawe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.