Mkuu Ontirio wewe ni mtu wa aina gani, nimekutana na watu wengi sana wa tofauti but wewe umepitiliza kaka. Najua ungeweza tu kukaa chumbani na kupiga utajiri mkubwa sana, lakini umeona bora ushee na kila mtu.si kila mtu anaweza kufny hivyo kaka. Mungu akutie nguvu, akuongoze, akuzidishie pale...
Watanzania wt wangekua km ww bro onta yani tungekua mbali. Nimesoma comments zako hadi natamani kulia. Mungu akuomgezee, si kila mtu ana moyo km wako wa kusaidia. Live long kk.
Kwanza kabisa itategemea na kuku wanakaa muda gani bandani, kama soko ni zuri unaweza kuwauza katijati ya wiki ya4 au mwanzani mwa wiki ya5, hapo basi broilers 300 watatumia mifuko ya 50 kg 15
CBG anachukua pharmacy, medicine and other medical related fields, inategemeana na chuo....
Pharmacy ya St.john na bugando zinawachukua bila shida, likewise bugando cbg anachukua medicine... pia pale kcmc cbg anaweza fanya prosthetics and orthotics...
Kuhusu vigezo inategemeana na ufaulu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.