Tanzania imekuwa ikishambuliwa na vyombo vya habari vya kimataifa kuhusu mambo mbalimbali kisiasa,kijamii na kiuchumi
kwa maoni yangu vyombo hivyo ni mawakala wa mataifa makubwa na makundi makubwa ya matajiri wa dunia hii
vina lengo moja tu,kuzuia muwekezaji yeyote wa kimataifa asiweke hela...
mkuu endelea kulamba miguu ya wakubwa,ikiwa safi wanaweza kukuona
kenya kwenye kesi za machafuko ya uchaguzi pia waligoma,lakini wakanyoosha mikono juu,Rutto na uhuru wakapelekwa the heague
pole mkuu,kushindia viazi na nyanya chungu kumekumaliza kabisa,sheria zako zimetoka kichwani na kuhamia...
ukiweka salio kwenye simu huwa wanatuma sms ambayo mimi naweza kuiita "risiti" ikionyesha bidhaa(salio ulilonunua) na kodi uliyolipa
kama TRA wakiwekeza katika e_business,inawezekana,hasa kama mfanyabiashara ana code/TIN anapata electronic/e_receipt pamoja na printout,risiti ya kielekronik...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.