Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,387
- 6,355
Pyupyu! kajisemea SuguSasa naona Sizonje na serikali yake wanashambuliwa kwa kasi ya ajabu na wabunge wao wenyewe. Ukosoaji umehamia CCM. Huku Bashe, kule Serukamba, pale Ndassa, katikati yupo Nape. Sasa Nissan nyeupe sijui itaanzia wapi kushambulia.