Hiyo wilaya yenyewe ya Biharamulo ni janga la nchi, labda walete huo uwanja wa ndege.
Wilaya haiendelei miaka nenda rudi, sijui nani aliwaloga watu wa Biharamulo? Mji mkongwe kweli lakini maendeleo inashindwa na sehemu moja ya Buselesele.
Raisi aifikirie kwa kweli.
Mtoa mada big up sana
Mambo ya viwaja vya ndege bwana! - Kuna Moshi, KIA na Arusha hizi sehemu ni karibu sana lakini kuna viwanja vya ndege!biharamulo airstrip
hahahaa,Uwanja unajengwa CHATO.....Full stop! Mkiendelea na hizo ngonjera tutajenga na uwanja wa mpira wa Kimataifa utakaofanana au kuwa na kiwango cha Dunia/Olimpiki.Endeleeni na Uchochezi sasa muone!