Hotuba anazosoma Rais Awekewe Teleprompter

Hotuba anazosoma Rais Awekewe Teleprompter

YALE

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2017
Posts
308
Reaction score
379
Wakuu nimeangalia hotuba kadhaa anasoma mkuu Rais huwa anatumia makaratasi na Kutumia muda mwingi akiinama technology imechange kwa sasa kuna kifaa kinatumika kinaitwa Teleprompter ni kifaa kinachomfanya mtu ahutubie au asome kitu bila kupoteza attention ya kuwatazama Audience yaani hadhira,

Nashauri Team ya Tech inayotembea na mkuu waandae Teleprompter ili kuleta ufanisi mambo ya kuweka karatasi kwenye podium yawe mara chache kama hotuba sio tu Inahitaji asilimia kubwa kusoma!
 
Anayoandikiwa kwenye karatasi wakati mwingine hasomi na akisoma hutupia maneno yake ambayo wakati mwingine yanautata. Hicho kifaa kinaweza kisisaidie
 
Watu walivyowashamba, akisoma kwa kutumia prompter watasema anahutubia bila kusoma popote.

Nakumbuka washamba wa humu JF walivyokuwa wanammiminia sifa Obama kuwa ni 'kichwa' kisa eti anatoaga [viranja wa sarufi tulieni] hotuba bila kusoma.

Licha ya vioo vya prompter kuwa mbele na kuonekana wazi, washamba hawa bado waling'ang'ania huo ujinga [maana halisi ya neno ujinga] wao.

Kwa hiyo, washamba hawa hata ukiwawekea prompter mbele yao hawatojua ni kitu gani hicho.

Ushamba ni mzigo!!!
 
Watu walivyowashamba, akisoma kwa kutumia prompter watasema anahutubia bila kusoma popote.

Nakumbuka washamba wa humu JF walivyokuwa wanammiminia sifa Obama kuwa ni 'kichwa' kisa eti anatoaga [viranja wa sarufi tulieni] hotuba bila kusoma.

Licha ya vioo vya prompter kuwa mbele na kuonekana wazi, washamba hawa bado waling'ang'ania huo ujinga [maana halisi ya neno ujinga] wao.

Kwa hiyo, washamba hawa hata ukiwawekea prompter mbele yao hawatojua ni kitu gani hicho.

Ushamba ni mzigo!!!
Umewahi kumwona Obama anatumia prompter kwenye midahalo? Sasa Ngosha anatakwimu feki anaspeech feki maana always msemaji wa serikali anakuja kukanusha unategemea apenda kusoma correct figures zinazodisplay kwenye prompter zaidi anaweza kipiga ngumi hahahaaaaaa tumechagua papai acha liive
 
Umewahi kumwona Obama anatumia prompter kwenye midahalo? Sasa Ngosha anatakwimu feki anaspeech feki maana always msemaji wa serikali anakuja kukanusha unategemea apenda kusoma correct figures zinazodisplay kwenye prompter zaidi anaweza kipiga ngumi hahahaaaaaa tumechagua papai acha liive

Mimi nimezungumzia hotuba. Sijazungumzia midahalo.

Hotuba na midahalo ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Ataweza kutumia?
Boss hivo ni vioo tu vinavowekwa pande pili havina Namna ngumu eti kutumia ni vinarahisishs usomaji huku uki focus na Hadhira through eyes contact
 
Ikiwa hotuba ya kiingereza ni majanga matupu ,sidhani kuna atakaye elewa matamshi wala lafudhi yake
Afadhali ile pidgin ya Kinaijeria
 
Boss hivo ni vioo tu vinavowekwa pande pili havina Namna ngumu eti kutumia ni vinarahisishs usomaji huku uki focus na Hadhira through eyes contact
Maana yangu ni anaweza kuangalia vioo na watu/hadhira kwa wakati mmoja? simuamini kabisa
 
.
Obama-Teleprompter-600x401_thumb%25255B1%25255D.jpg
reagan-teleprompter.jpg
6thgrade02%5B1%5D.jpg
 
Wakuu nimeangalia hotuba kadhaa anasoma mkuu Rais huwa anatumia makaratasi na Kutumia muda mwingi akiinama technology imechange kwa sasa kuna kifaa kinatumika kinaitwa Teleprompter ni kifaa kinachomfanya mtu ahutubie au asome kitu bila kupoteza attention ya kuwatazama Audience yaani hadhira,

Nashauri Team ya Tech inayotembea na mkuu waandae Teleprompter ili kuleta ufanisi mambo ya kuweka karatasi kwenye podium yawe mara chache kama hotuba sio tu Inahitaji asilimia kubwa kusoma!


Tusaidie hata picha yake Mkuu wengine tupo madongokwinama
 
Back
Top Bottom