Recent content by Papaa Kinyani

  1. Papaa Kinyani

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Dkt. Magufuli wajiandae kisaikolojia, lolote linaweza kutokea

    Japo umesema ni mtazamo wako lkn ni mtazamo wa jamii nzima. Tumechoshwa vya kutosha. Ngoja tubadili mwelekeo wa jahazi ili tukapate samaki wengi na bora.
  2. Papaa Kinyani

    Uchaguzi 2020 Mwandishi John Marwa wa Dar24 akamatwa kwa kumkashifu Naibu Waziri Mwita Waitara

    nokwenumuya, Duu mpaka uchaguzi uishe tutaona na kusikia mengi
  3. Papaa Kinyani

    Wife kanikamata red handed najiandaa kwenda kula Christmas na mpenzi wangu

    Nipe namba ya simu ya mkeo PM nikuombee msamaha
  4. Papaa Kinyani

    Natafuta rafiki mwanaume

    Habari? Ulishapata mwenza? Kama bado tuwasilianae
  5. Papaa Kinyani

    SANCHOKA ananieka active sana na hizi stress za Maisha

    Simba alipita akatapika
  6. Papaa Kinyani

    Ipi bora zaidi kati ya Kitochi 4G Smart ya Tigo au Vodacom

    Chukua ya TIGO mkuu, hotspot inafanya vyema kwenye macbook, pia battery life ni superb, bei yao pia rafiki sana ukilipia kwa tigopesa.
  7. Papaa Kinyani

    Ofisa feki wa TAKUKURU akamatwa

    Short cut is always a wrong path
  8. Papaa Kinyani

    RC Dar,Atoa agizo kwa wakazi wa dar!

    Ukiona hivyo, Watu wamechoshwa na utawala huu.
  9. Papaa Kinyani

    Mfanyakazi CRDB afikishwa Mahakamani kwa kumuibia mteja zaidi ya Tsh milioni 100 na kuzitakatisha

    Ndg yako huyo fala bora aibiwe, ktk zama hizi za kielektronik kuna mtu anaporwa pesa barabarani? Siku hizi kuna mobile money, sim banking nk
  10. Papaa Kinyani

    Tapeli yamtokea puani, tumbo lajaa maji

    Ukome kabisa mm mmojawapo ulinitapeli, kama unataka kupona nirudishie hela yangu, nadhani unsikumbuka namba hii 0715274727
  11. Papaa Kinyani

    Ni nani ameruhusu matangazo ya michezo ya kubahatisha kuanza kutangazwa tena kwenye vyombo vya habari?

    Hawa wanacheza na akili za viongozi wa serikali, TCRA nao wamelala, hapo ndio pakupiga faini kubwa kituo mpaka washindwe kulipa wafunge kituo, wanachosha sana, taifa gani la kamari?
  12. Papaa Kinyani

    WIZI WA SIMU

    Heee kama unaijua IMEI mbona rahisi kuipata? Kuna kampuni posta (dar) sijui wewe upo wapi? Inasaidia kutafuta simu zilizoibiwa ikiwa tuu utawapa IMEI. Cha msingi wewe ukishaonana na hawa jamaa wa kampuni, muombe huyo mwizi atoe line yako aweke yake, hapo ndio itakuwa rahisi kum trace na...
  13. Papaa Kinyani

    Msaada wenu wakuu, nakosa usingizi

    Sasa ndugu kama ushajua mawazo ndio chanzo cha wewe kukosa usingizi kwa nini usipambane kuyaondoa kwanza mawazo?
Back
Top Bottom