Japo umesema ni mtazamo wako lkn ni mtazamo wa jamii nzima. Tumechoshwa vya kutosha. Ngoja tubadili mwelekeo wa jahazi ili tukapate samaki wengi na bora.
Hawa wanacheza na akili za viongozi wa serikali, TCRA nao wamelala, hapo ndio pakupiga faini kubwa kituo mpaka washindwe kulipa wafunge kituo, wanachosha sana, taifa gani la kamari?
Heee kama unaijua IMEI mbona rahisi kuipata? Kuna kampuni posta (dar) sijui wewe upo wapi? Inasaidia kutafuta simu zilizoibiwa ikiwa tuu utawapa IMEI. Cha msingi wewe ukishaonana na hawa jamaa wa kampuni, muombe huyo mwizi atoe line yako aweke yake, hapo ndio itakuwa rahisi kum trace na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.