Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,284
- 30,158
Ile tabia ya waendesha vibajaja kulazimisha kuingia barabarani njia kuu leo mmoja wao imemtokea puani.
Nikiwa zagu naelekea mujini nikasikia honi kali.
Nikaona kibajaji kimeingia kwa kasi kumblock pick up moja ambayo mwendo wake ulikuwa mkubwa ingawaje si kasi kubwa sana.
Hamadi bajaji hii hapa na kwa honi na kujaribu kukwepa wapi!
Tukasikia kishindo kama mabati elfu yanaanguka.
Kibajaji kika viringika na kuserereka zaidi ya mita kumi na tano maana kilipigwa kisawia haswa!
Alipotoka mtu ndani yabajaji nikasema alhamdulillahi ingalau kuna waliopona.
UPDATE
Bajaji hawakomi, leo tena bajaji imepigwa maeneo yale yale.
Sasa hivi bajaji mtaroni.
Nikiwa zagu naelekea mujini nikasikia honi kali.
Nikaona kibajaji kimeingia kwa kasi kumblock pick up moja ambayo mwendo wake ulikuwa mkubwa ingawaje si kasi kubwa sana.
Hamadi bajaji hii hapa na kwa honi na kujaribu kukwepa wapi!
Tukasikia kishindo kama mabati elfu yanaanguka.
Kibajaji kika viringika na kuserereka zaidi ya mita kumi na tano maana kilipigwa kisawia haswa!
Alipotoka mtu ndani yabajaji nikasema alhamdulillahi ingalau kuna waliopona.
UPDATE
Bajaji hawakomi, leo tena bajaji imepigwa maeneo yale yale.
Sasa hivi bajaji mtaroni.