Wepostnow tuunatafuta waandishi wa kujitegemea kujiunga na timu yateu.Utaweza kupata hadi kiasi cha shilingi 460,000 kila mwezi (200$).
Wepostnow inakupa nafasi ya kuandika kwa lugha ya Kiswahili au kiingereza.
Pia mfumo wetu unakupa nafasi ya kufanya kazi muda wowote ule kupitia simu yako ya...
kwani mzee, huwa hutizami movies za zinazoonyesha maudhui ya mashekhe wakiuawa kwa kuitwa magaidi? acha chuki za kisenge mzee, hiyo ingekuwa inamilikiwa na mtu anayeitwa John ungekuja hapa kuongea? mara ngapi unatizama series zenye maudhui ya kuuawa kwa viongozi wa dini ya kiislamu, basi katoe...
nasikia hii barabara za vumbi ni deal kwa watu. yaan zinatengenezwa hili watu wawe wanapiga pesa kila mwaka kwa kuzikarabati. mvua zikinyesha,zinaharibu barabara then jamaa wanakula tenda ya kutengeneza . so ngumu kuweka lami, watu wale wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.