Recent content by Papa1

  1. P

    Vijana shirikini uchaguzi, reforms zote hufanyika bungeni sio mitandaoni

    Na bungeni tunafikaje bila reforms? Hujui Kuna kuenguluwa, kuzia mawakala, kuuliwa, kutangaza aliyeshindwa na kuapishwa wa CCM?
  2. P

    Madai ya watuhumiwa kulawitiwa na kupigwa video na picha za uchi. Je, wanaorekodi wanazipeleka wapi?

    Huu ni itamaduni wa coastline, huenda Hawa ni mercenaries from visiwa vya marashi.
  3. P

    Kwani wanafunzi wakimaliza kidato cha sita ni lazima waende JKT? Kwani JKT ni lazima?

    Mwaka wa uchaguzi huu, waende wakafundishwe namna ya kupiga kura. Miaka mingine mbona hakukuwa na msisitizo?
  4. P

    Rais wa TEC, Askofu Pisa apingana na polisi, asema taarifa yao kuwa Padri Kitima alikuwa anapata kinywaji wakati anashambuliwa ni Upotoshaji

    Mi Bado nauliza, wale UVCCM ambao huwa nasoma kwenye mitandao kuwa wameteuliwa kutoka mikoa mbalimbali kuwa wanaenda kujiunga na mafunzo ya upolisi Huwa wanaishia wapi? Sio kwamba Hawa wenye mbinu ya kuvunja miguu watu ndio tayari wamehitimu? Mi mtazamo wangu ni kwamba hapa hukuna Cha polisi...
  5. P

    PreGE2025 Kama hakuna muda wa kuifanyia Tume ya Uchaguzi marekebisho UN yaweza kusaidia

    Msisahau kuambatanisha vielelezo vyote vya wizi wa kura ikiwemo clips za polisi na vibegi vya kura feki, matamko ya akina Nape, Kuna na yule alisema unapiga kura kule huku tunaunda serikali, Mchengerwa, Wasira, na matukio ya kufuta chaguzi ya akina Jecha pamoja na kanuni za tume hii isiyo huru...
  6. P

    Lissu: 'Time limit' kwenye uongozi ni anasa

    Nyie kwenye Lichama mnao watu wa kuongoza, inakuwaje sasa mnunue tena akina Mwita Waitara, Gekul, Katambi, Silinde, Kafulila, Molel, Lijualikali, na wengine wengi. Inamaana wewe hufai au?
  7. P

    Rais Samia na Mjane wanastahili pongezi ushirika na Hayati Magufuli

    Niliwahi angalia move flani, Askari magereza wanasafirisha wafungwa, karandinga linakwama kwenye tope mlimani na kushindwa kwenda, wafungwa wanaamriwa wateremke wasukume gari kulikwamua, wafungwa wamefungwa Pingu wawili wawili. Mfungwa mmoja kakatwa mkono mwingine kabaki na Pingu na kuamua...
  8. P

    Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

    Hivi pale wameandika Kingai au Ngaiki?? Huenda ni typing error!!! Walimaanisha Kingai kweli??? DCI????!!!
  9. P

    Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

    Japo ndio sijapaelewa kabisa! Makomandoo wake chonjo!!
  10. P

    Peter Msigwa ni mchungaji wa kanisa gani?

    Anachunga kondoo.
  11. P

    CCM wanauhalali wa kujimilikisha viwanja vya sabasaba?

    Hivo viwanja vinastahili kuwa vya serikali chini ya usimamizi wa wakala wa viwanja vya michezo au halmashauri za miji. Kutwaliwa na CCM ni UHUNI.
Back
Top Bottom