Recent content by Panya Mabaka

  1. Panya Mabaka

    Vijana waliozaliwa kuanzia Miaka ya 90 ndiyo watakomboa hili taifa

    Kizazi cha dhahabu ni 1980's. Hawa wakata viuno ndo waikomboe nchi?
  2. Panya Mabaka

    Mkoa wa Pwani unasubiria nini kufungua minada ya soko la ufuta?

    Dah! Ngoja niandae bomu.... Nitarudi humu
  3. Panya Mabaka

    Mkoa wa Pwani unasubiria nini kufungua minada ya soko la ufuta?

    Kinasubiriwa nini kufungua minada ya soko la ufuta? Au hadi akina Kangomba wamalize kuukusanya Kwa wakulima? Wakulima wataendelea kudhulumiwa Kwa bei za unyonyaji hadi lini?
Back
Top Bottom