Uonevu na wivu wamekosa mahali pa kupata mapato hadi wamfuate diamond? Hivi wale waliovuna escrow wamelipa kodi? Mbona wanapenda kufukuzana na vitu vidogo sana mambo muhimu wanayaacha!
Dozi ya limbwata toka kwa mkewe imemzidi nguvu hadi kamfukuza mama yake aliyemuhifadhi tumboni miezi Tisa akamzaa kwa uchungu pia akamkuza. Mungu amusamehe.
Hivi hakuna uwezekano wa kuruhusu makampuni mengine ya kufua Umeme na kusambaza kwa watumiaji maana Umeme ni maendeleo kwa kuwategemea TANESCO wanaobolonga kila kukicha tutakwama siku zote. Iwe kama walivyoruhusu makampuni ya simu hivi sasa nyodo za ttcl zimeisha hawana jeuri tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.