Recent content by PantaleoGregory58

  1. P

    Motor vehile ya Verosa kwa sasa ni shilingi ngapi?

    Asante sana FaizaFoxy umetuelewesha wengi.
  2. P

    Mwanamke anayedaiwa kuwa na sura mbaya zaidi duniani

    Naomba contact zake uwe mchepuko wangu.
  3. P

    Altezza inauzwa

    Ni cc ngapi litre 1 kwa km ngapi?
  4. P

    Tanzia: Mtanzania Afariki leo mjini Istanbul nchini Uturuki

    Mzizi mkavu kwanza poleni sana. Fanyeni kamchango maiti asafirishwe aje azikwe kwao musimzike ughaibuni mtu kwao bwana.
  5. P

    Mshindi wa BBA Idris

    Acha wivu wa kike Kama uwezo anao kuna tatizo gain? Pesa umempa wewe!?
  6. P

    Naseeb Abdul (Diamond Platinumz), akaliwa kooni na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    Uonevu na wivu wamekosa mahali pa kupata mapato hadi wamfuate diamond? Hivi wale waliovuna escrow wamelipa kodi? Mbona wanapenda kufukuzana na vitu vidogo sana mambo muhimu wanayaacha!
  7. P

    Imeniuma sana, vijana tuwaheshimu mama zetu

    Dozi ya limbwata toka kwa mkewe imemzidi nguvu hadi kamfukuza mama yake aliyemuhifadhi tumboni miezi Tisa akamzaa kwa uchungu pia akamkuza. Mungu amusamehe.
  8. P

    Baba au Mama?

    Naigawa Mara mbili wote nawapa elfu hamsini wazazi wote ni muhimu kwangu siwezi kubagua Mungu hapendi.
  9. P

    TANESCO na NMB mnakeraaaaa

    Hivi hakuna uwezekano wa kuruhusu makampuni mengine ya kufua Umeme na kusambaza kwa watumiaji maana Umeme ni maendeleo kwa kuwategemea TANESCO wanaobolonga kila kukicha tutakwama siku zote. Iwe kama walivyoruhusu makampuni ya simu hivi sasa nyodo za ttcl zimeisha hawana jeuri tena.
  10. P

    Picha za maafa ya mvua Kahama

    Poleni sana wapendwa
  11. P

    ITV kuna ubaguzi kwenye utoaji habari?

    Hauna mantiki chuki binafsi inakutafuna na wewe anzisha yako uwe unatangaza habari uzipendazo.
  12. P

    Kuwa Tajiri na ukakosa Elimu ni Maradhi makubwa sana

    Mimi naona nafuu kuwa na pesa kwanza
Back
Top Bottom