Uliona wapi nyumba ikawa na baba wawili? Acheni kushusha thamani ya Tanzania na ya Nyerere. Hatuhitaji nchi kuwa na baba wawili, baba huwa ni moja tu kwenye familia
Hapana.
Jimbo lililochukuliwa na mgombea binafsi ilikuwa Mbulu wakati huo ikihusisha Wilaya za Mbulu, Hanan'g, Karatu na Babati.
Mgombea wa TANU alikuwa Dodo na alishindwa na mgombea binafsi aliyejulikana Kama Elias Sarwatt
Nyerere wacheni apumzike kwa Amani. Watoto wake hawajawajenga Kama watoto wa mtu aliyeongoza nchi kwa zaidi ya miaka 20, angalia watoto wa viongozi wengine si kwenye ubunge Wala uraisi, wanarithi vyeo vya wazazi wao
Siyo walimu tu ndugu yangu, nchi hii inaangushwa na wasomi wakubwa kwa sasa hivi na sababu ni unafiki uliopitiliza. Kama ulishawahi kusoma kitabu cha kivuli kinaishi mhusika mkuuu akiwa bi kirembwe. Watu wanaaminishwa kuwa nyeusi ni nyeupe na nyeupe ni nyeusi baada ya kula unga wa ndere
Naamini huu ni upotoshaji.
Chama kinampa taarifa Spika kuhusu kufukuzwa uanachama kwa mbunge, Kisha spika anaiarifu tume ya uchaguzi kuwa Jimbo X liko wazi na tume inaitisha uchaguzi kwa mujibu wa katiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasomi wetu wanaonyesha udhaifu mkubwa wa kutambua mambo, wale wenye elimu ya chini au wasio na elimu rasmi wamekuwa waelewa kuliko wasomi wengi. Argument za wasomi zimekuwa za ajabu mno kuliko za watu wa kawaida. Shida iko wapi, tumekwama wapi au ni tamaa ya nafasi za uteuzi zinatesa wasomi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.