kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,641
- 13,024
Mkuu ulitangaza nia kabla ya dirisha kufunguliwa, halafu yule wa Kyela si alishasema MENDE HAWEZI ANGUSHA KABATIMimi sisemi chochote , maana nilipotangaza kugombea jimbo la Kyela uzi wangu ukazimwa kama mshumaa jangwani .
Pole aisee ndio maana nilikuwa nausaka siuoni heheMimi sisemi chochote , maana nilipotangaza kugombea jimbo la Kyela uzi wangu ukazimwa kama mshumaa jangwani .
Tusiwaite majina hayo mkuu , inawezekana wameniokoa nisitekwe
Hasira za nini?
Nadhani uliondolewa kwa sababu za kiusalama , sina mashaka na moderatorPole aisee ndio maana nilikuwa nausaka siuoni hehe
Kama ambayo kila mtu anahitaji kukua, hata kwenye Siasa Kuna kukua pia. Boniface amekuwa Diwani kwa Miaka 10, ni sahihi kwake kutaka kuwatumikia Wana Ubungo kwa angle nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia nilikuwa wasiwasi na PoloniumTusiwaite majina hayo mkuu , inawezekana wameniokoa nisitekwe
Bila shaka, na safari lazima iendeleeTusiwaite majina hayo mkuu , inawezekana wameniokoa nisitekwe
Santuri ya kale hiyoChagas democratic movement
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Waziri wa Habari alichukizwa na uzi wako mkuu?Mimi sisemi chochote , maana nilipotangaza kugombea jimbo la Kyela uzi wangu ukazimwa kama mshumaa jangwani .
Jerry Muro alishafeli kabla hata hajatangaza niaWakazi wa Ubungo ndio watakao chagua mbunge wao,hiki siyo sampuli ya viti maalumu.
Ubungo wanataka mbunge wa kutatua ISSUES zinasohusu Ubungo kwanza na si vinginevyo.
Ni muda mrefu ubunge wa Ubungo umegeuka jamvi la wakuja.
Ubungo inategemea sana wazawa na wakazi wao wawili mmoja ni yule kwa sasa ni mkuu wa wilaya ya mikoa ya kaskazini,aliewahi kuwa publicity secretary wa Yanga Mhe.Jerry Muro,na mwingine ni meya na mtoto wa kijiweni Mayor Boniface
Hawa watu wawili wakichuana itakuwa sawa na vita kuu ya tatu.
sidhani ! maana kiukweli uzi ule ulijikita kwenye taarifa ya mimi kujieleza binafsi nia yangu ya kugombea ubunge tu , hakuna mahali nilimtaja huyo mheshimiwa kwa ubaya wowote , labda kama kutangaza nia ni jinai
Kafeli kwa lipi?Kumbuka wapiga kura ni wakazi wa Ubungo wanamuelewa viliivyo Jelly tokea udogo wake.
Wooh! Mkuu, kumbe modccm wamefuta ule uzi!!
Ya kweli hayo?Hili halina mjadala. Bwana Mdogo Boniface amewapigania Wana Ubungo wote hata zaidi ya mpaka yake ya udiwani.
Ni wazi pia Kubenea ataondoka Chadema. Kwa tunaofuatilia series of events za Chadema tangu zivuje Voice notes za Kumdhuru Boniface Jacob kwa lengo la kumdhoifisha Mbowe asigombee Uenyekiti Chadema (Walioshiriki kwenye zile Sauti wanajulikana) na (walio Kuja kugombea na Mbowe wanajulikana) na (kilichotokea baada ya Mbowe Kushinda kinajulikana).
Kubenea haaminiki tena ndani ya Chadema. Inaelezwa kuwa 'amevumiliwa' sana na sasa Chadema wapo radhi aende zake kama alivyofanya swahiba wake, Anthony Komu. Kikubwa katika siasa, hakuna uadui wa kudumu kwaiyo wanaweza baadae wakaunda timu moja kwa Milango utakaokuwa wazi nyakati hizo ila kwa sasa aliyeandaliwa na anayeandaliwa kuwa Mbunge wa Ubungo ni Mdogo wangu Boniface Jacob.
Boniface Jacob ameshawaaga wakazi na wapiga kura wake kuwa hatagombea tena Udiwani na hivyo hata kuwa Meya tena wa Ubungo baada ya kuweka historian ya kuwa Meya wa Kwanza wa Manispaa ya Ubungo ikiwa chini ya Chadema.
Mimi Binafsi namuunga Mkono Boniface na kumtakia kila lenye heri. Kazi alivyofanya kwa wanaubungo haijifichi ni kubwa na kila mtu timamu anayeishi Ubungo ambaye hajafaa joho la uwendawazimu anaelewa.
Inasadikiwa kuwa Kiongozi mmoja wa ngazi ya JUU katika mkoa fulani analitolea macho na udenda Jimbo hilo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha MBOGA MBOGA ilhali Mwana JF Mkongwe pia anatamani pia kugombea Jimbo hilo kwa tiketi ya Mboga Mboga pia.
Muda utaamua.
Alamsiki,
Mzito Kabwela