Huyo kijana ni mweusi na ana miaka 28-33, ana dharau na ni Boya kweli . Kuna siku elfu tano yangu ilichanika kidogo akagoma kupokea, nikamwambia hii hela haijaharibika kivile, isitoshe nyie mna deposit bank akagoma,. Abiria wezangu waliokuwa nyuma yangu wakamwambia hiyo hela haijachanika...
Wewe nae Kama mtoto mdogo, kwani nchi hii Kuna mkoa pizani kwa ccm, au hukumbuki hata mwenye goli la mkono ni waziri, kikubwa apate upizani atatangazwa tu.
Yeye anaumia nini, wakati anatumia Mali yake, Mimi Nachukia wanaume Kama hawa kila siku kulalamika mademu kugongwa. Waacheni wagongwe wewe inakuhusu nini.
Hapana mkuu, baada ya dogo kuniharibia siku, alafu isitoshe nguo nyeupe imenibidi ninunue T-shirt.. buget amboa sikua nalo, ungekuwa aibu ndani ya daladala
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Leo nilienda kumtembelea dadangu /binamu wa kike, nilimpigia simu Jana kuwa leo nitamtembelea na kweli niliamka kwa kufanya majukumu yangu na kujiandaa na safari nikatumia saa moja na nusu . Ni muda mrefu hatujaonana na alitaka niende kumsalimie nilifika muda wa saa sita hivi.
Binamu yangu ana...
Nachukia kuita binadamu mwezako haramu, awe mama Wala mtoto, na hata alizaa kwa kupenda au kwa kutopenda. Ni nani aliyekamilika na mwenye mantiki ya kuwaita binadamu wenzake "haramu".
Mkuu umeona Kama Mimi, huyo mwezangu anatengeneza njia yake, atajadiliwa na m/kiti wa ccm (Rais),na tayari atakuwa amesafisha njia kulingana na mfumo wa siasa yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.