Can be possible kwa waziri akalewa halafu akaenda bungeni na kujibu maswali, je ni nani aliejua kuwa kalewa?? Je ina maana kitwanga hajui ethics za bunge na uwaziri na dhamani aliyokuwa nayo? Au ni njia tu ya kumuondoa kiaina ili isijulikane ati ni kwa sababu ya LUGUMI?? Najiuliza kimoyomoyo
Daaa nchi bhana haiishiwi na vituko, wale wote walio ccm na chadema mnapaswa kuwajibishwa na kuchukuliwa hatua, maana nchi hii mnaichezea sana, mnarushiana tu madongo Mara yule Mara huyu, yaaaaani ni tabu kweli kweli
Yaani Peter noni umulinganishe na MILARD AYO? teh teh teh milard ayo Mzee Wa amplifier weee acheni utani sasa, kwa huyo mtu NONI ( NANI) ndo niniiiiiii? Vijana Wa CCM acheni usengerema
Yaah ni wazo zuri kabisa maana kama walilipwa mishahara hewa inamaana hata michango iliyoenda kwenye mifuko ya jamii nayo ni hewa inabidi irejeshwe maana zile pesa za wafanyakazi hewa zipo, serikali chukueni wazo hilo
Tatizo la nchi yetu watu wengi walijifanya miungu watu, inamaana hata utawala ulioisha walikuwa wanalijua hilo hivi kwa nini waliruhusu nchi ikatafunwa hivi??? Daaaaaa mie tu kwa mwezi nshahara wangu hauungi mwezi halafu nasikia eti kuna ntu alikuwa hapokei nshahara halafu ni Wa mamilioni daaaa...
Kwa hiyo Mimi nikimsaidia ombaomba yeye anaadhirika nini? Kama yeye hana moyo wa kuwasaidia wapo wenye moyo watawasaidia, hii inaonyesha alieshiba hamkumbuki mwenye njaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.