Hello salama wakuu natafuta vijana wenzangu tuunde kikundi kwa ajili ya kufanya shughuli za ufugaji kama Kuku au Nguruwe n.k , kwa walioko mkoani Mbeya ni bora zaidi ."tukiwa na umoja ni rahisi kufanikiwa" karibuni
Tunashukuru Mh. Rais Samia na Serikali yako sasa tumeanza kuona ajira mpya. Ni jambo la kheri na inatia faraja kiasi.
Lakini pamoja na hayo yote mema na mazuri, Mheshimiwa tunaomba usawa katika nafasi hizi kama ikikupendeza nikiwa na maana hii:
1. Kuna baadhi ya kada hazipati fursa ya kutoa...
Habari zenu wakuu,
kuna bwana mdogo anahitaji kuomba hizi nafasi za ajira za polisi zilizotangazwa karibuni lakini kwenye maelezo yake wamesema muombaji ajaze form namba 2 maelezo yake ndio aendelee.
Sasa amehangaika kuipata hyo form kashindwa je kama kuna alieweza je ameipatje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.