ukienda hurudi....unarudi asubuhi unasema walikuwa hawajafungua so ikabidi usubiri wafungue :teeth:
maana hukutaka akose!!!
huyo binti sijui anakula maharage ya msumbiji???
cc Mentor miss chagga
pole sana kwa kusongoka mwaj wa ukweli. sasa huo muda wa kufatilia kama katumia kondomu unao? na kwahiyo siku kama hana hela ya matumizi.....(as siku hazifanani) hapo utajipa mawazo kuwa njemba kazimaliza kwa mchepuko?!?!:confused2:
kusongoka kunazidi hapo. Kazii unayo.
shansarie ...........hahahahaa mmenichekesha leo
sasa huyu aliyelala na nduguye....ni nduguye kivipi kwanza? wa damu gani? au wa kuungaunga na utomvu?
maana hapo ndo tutajua hadhi ya nyege alizokuwanazo na kumshauri afanyeje. vinginevyo huu uzi ni mizinguo tu!
bebe sosoliso hivi unajua ulezi wa mapacha ni noma aksee
na hivi wewe ndo huna habaree nao kutwa unalewa tu unategemea mie nifanyeje
Ila matembezini nipo lakini mie ntatembea kuanzia ferry....
umenielewa een mpwa Elli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.