safi sana mama makinda heshima ya bunge lazima irudi hawa watu watolewe tu maana maana hakuna jinsi nyingine toa hao wameshajiona hawana sera wanatafuta huruma kwa wananchi toa hao kila kitu na kila siku wanapinga kila kitu hata kujiandikisha wanapinga toa hao toa hao wafungie mpaka bunge la 11...
hatuwezi kumpa mlevi nchi makongoro akajipange upya na wakimiweka yeye kawatukana wagombea wenzie hakuna atakayemuunga mkono so ccm ikimuweka makongoro itakufa kifo cha mende na chadema wanamtaka makongoro kwasababu wanalewa nae viroba so wanajua wapi pa kumfilisi hatutaki.............!
kwa sharti la kutokutajwa jina alafu majina yenu yalikua yameandikwa na mliitwa mmoja mmoja kupewa hela sasa huu si ukichaa????uongo mwingine bwana kazi kweli kweli
Alfonce umewahi kunifundisha bondeni unapomwita zitto Yuda jiukize wewe sio Yuda?nini kilikuamisha arusha....unataka tuweke wazi uliyofanya haya twende kazi..
ulipokua diwani wa sombetini ulinunuliwa na ccm na ukaiangusha TLP haya baada ya hapo ndio ukaingia chadema wewe pamoja na jirani yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.