Recent content by pakesi

  1. P

    Yaliyojiri Bungeni - Julai 04, 2015: Spika aamrisha wabunge wa Upinzani kutolewa Bungeni

    safi sana mama makinda heshima ya bunge lazima irudi hawa watu watolewe tu maana maana hakuna jinsi nyingine toa hao wameshajiona hawana sera wanatafuta huruma kwa wananchi toa hao kila kitu na kila siku wanapinga kila kitu hata kujiandikisha wanapinga toa hao toa hao wafungie mpaka bunge la 11...
  2. P

    Upepo wageuka: Sasa ni Jaji Ramadhani, Makongoro vs Lowassa

    hatuwezi kumpa mlevi nchi makongoro akajipange upya na wakimiweka yeye kawatukana wagombea wenzie hakuna atakayemuunga mkono so ccm ikimuweka makongoro itakufa kifo cha mende na chadema wanamtaka makongoro kwasababu wanalewa nae viroba so wanajua wapi pa kumfilisi hatutaki.............!
  3. P

    Edward Lowassa special thread

    unatumia hesabu za mwaka gani??je hao ccm hawavuni wanachama wapya??fikiri kabla ya kubwabwaja
  4. P

    Nape azomewa, Kinana amshusha jukwaani

    mwanahalisi mzushi tu
  5. P

    Kwanini Lowassa anataabika kupata wadhamini?

    wengine wambetenea mikoa15 tu sasa yey anazunguka mikoa yote
  6. P

    Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

    utamwaga damu wewe na ukoo wako
  7. P

    Lowassa: Nitakuwa Rais, ama kupitia CCM au nje ya CCM

    NO3 ni uongo kabisa sikusikia lowasa akilisema hilo mimi ni ukawa na niripota but sikusikia maneno hayo akiyazungumza kwahiyo mtoa mada sio mkweli
  8. P

    Lowassa kizaazaa; Boda boda wakinga jaribio la kudhulumiwa ujira wao

    kwa sharti la kutokutajwa jina alafu majina yenu yalikua yameandikwa na mliitwa mmoja mmoja kupewa hela sasa huu si ukichaa????uongo mwingine bwana kazi kweli kweli
  9. P

    Yaliyojiri: Mdahalo wa vyama vya Siasa, 18 Juni, 2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Chadema wakijua Zito yupo sehemu lazima wale kona wanatafuta zile point alafu wazichukue wao
  10. P

    Zitto azomewa Bukoba

    yani huku mnapotosha sana watu hii bukoba ingekua marekani ingekua kazi sana yani
  11. P

    Zitto: Ulidanganya Geita wanakuhitaji, leo umekiona cha moto

    sawa mkuu ila ndio ukweli msaliti hawezi kumjua msaliti mwenzie mpaka kwanza akiri mwanzo na yeye alikua msaliti
  12. P

    Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

    ooooooyoooooyoooooyooooo....!apigwe tu
  13. P

    Zitto: Ulidanganya Geita wanakuhitaji, leo umekiona cha moto

    Alfonce umewahi kunifundisha bondeni unapomwita zitto Yuda jiukize wewe sio Yuda?nini kilikuamisha arusha....unataka tuweke wazi uliyofanya haya twende kazi.. ulipokua diwani wa sombetini ulinunuliwa na ccm na ukaiangusha TLP haya baada ya hapo ndio ukaingia chadema wewe pamoja na jirani yako...
Back
Top Bottom