Kamanda Kova kwa hili nakuaminia.....nina imani iNTELIGESIA yako iko ngangar na wakijaribu tu....tafadhali wakamatwe na wapelekwe kwenye kisiwa kisicho na watu waanze maisha huko.
PANYA ROAD TISHIO: Asilimia 84 ya watu wahofia muda wowote wanaweza kuathiriwa na wanyang'anyi kama "Panya Road", utafiti wa Twaweza uliotolewa leo Dar waeleza.
Kumbe gwaride la juzi umwanja wa taifa lilikuwa la mwisho kwa Nambar One wa sasa.Ina maana atabakia kuwa kama kina Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa.....Sasa wale walinzi wake wote wataenda naye au watamsubiri nambar one mwingine.Kupunguza matumizi na kuondoa u mungu mtu ajaye namuomba awe na walinzi...
Halafu baadhi ya watu wanasema ......Italikomboa jimbo la ARK.wapi Kinana aliyetoa amri soko la moshi lifunguliwe..kuna hatari kubwa saana ya kipindupindu pale sokoni na watu kuumia kwa kuanguka.
Jeshi letu lina silaha duni saana,yaani wanatumia manati na visu kulinda nchi na wakubwa wa jeshi wanapewa magari ya kifahari wanapostaafu.Ningeshauri jeshi linunue bunduki..vifaru..helicopters..ndege vita..mabomu ya machozi nk..nk..nk
Wakuu wote.....tuwashauri nsugu zetu tuwe REALISTIC..dunia inakwenda haimsubiri mtu...hata Mwalimu alisema aliyoweza kufanya ameyafanya na aliyoshindwa ameshindwa mwingine atayafanya.Mulioko madarakani pia mumefanya kadiri ya uwezo wenu na mengine hamjaweza....kuweni waungwana na wengine waje...
As long as hawa Wazee wataendelea kungangania madaraka serikalini na kwenye Chama tawala..vijana wasomi andikeni mumeumia....hamtapata ajira kabisa.solution wazee watoke vijana muanze kazi..Hivi Mzee Msekwa...Mzee Malecela...Kingunge bado wapo kazini???? Sasa hata busara zao hazitakiwi na vijana...
Uzuri wa hii forum wengi wetu tuna akili na tuna uwezo wa kifedha....mia miambili hazitupigi chenga.Tunajuwa pumba na mchele na wengi tuna sura mbili..ile ya sura ya kweli inafichwa na ile ya uwongo..lakini inabaki na mvuto wake.
Wanakusanya ushahidi wa kuelekea ICC.Hebu tuone wasomi wa sheria walivyofanya ktk kupitisha miswada ya sheria....mtakumbuka ya AG kuyakubali mabadiliko ya Lissu kwa masharti yasemwe na Chenge.Shauri yao yetu macho.baada ya kura naenda Mombasa
HAKUNA MAHAKAMA YA KADHI KATIKA QURAN.......kwani mahakama ni nini.....nijuavyo ni chombo cha kufasiri sheria.Na sheria alizoziweka ALLAH zipo.kwa hiyo mahakama ni kufasiri tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.