Acheni maneno yenu tabia ya mtu mmoja sio tabia ya mkoa mzima. Research yako ilikuwa na sampling kiasi gani? Nenda darajani karibu na msikiti wa mabanzi uone kuna dada anaitwa madina uagize msosi. Mke wako itamchukua miaka 10kufikia
Hatuwezi kutoa maamuzi kwa kusikiliza upande mmoja ni lazima tusikilize pande zote. Nachojua mwalimu hawezi chokoza mwanafunzi. Alafu walimu sasa hivi wengi ni vijana wana mambo yao muda wa kukufuatilia hawana. Lazima mtakuwa mnaukorofi kama yule wa mbeya. USHAURi dogo tii sheria acha kuvutana...
Bora umwambie. Alafu huyo mwanafunzi alio sema hajui au amesahau.
Je tangu amesoma o-level shule yao ilikuwa inaruhusu simu shuleni? Pili simu zimezuiliwa na sheria za shule zipo katika joining instruction.sasa inakuwaje hicho ni kibuli. Ningekupiga adhabu Kali mpaka ushangae
Hapo juu umeeleza vizr. Lakini hapo chini kwamba watu wa kanda ya ziwa star TV ni Kama ibada.huo ni uongo maana Hakuna bar yoyote inayo onyesha taarifa ya star. Hata kwangu nyumba ni ITV. Nyingine huwa kwa vipindi maarufu
Post sent using JamiiForums mobile app
Boss Ku update vp? Niliomba toka mwaka Jana na barua tayari zilisha tumwa tamisemi sasa na updatia wapi.nipe maunjanja boss
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.