Labda naweza kujibu kwa kuuliza swali: je kuna tofauti gani kati ya ngono inayofanywa na wanandoa na wale wasio wanandoa? Kama hakuna tofauti je ni kwann wale ambao hawajaoana wanaonekana wanafanya tendo la ngono wasilostahili kufanya..?!
Moja ya njia ya kufanya watu wasi hold money. Ni serikali kuuza government bonds na security pia kuhamasisha watu wawekeze kwenye sekta mbalimbali kwa bei nafuu(local investment).NB Watu wapewe fursa za kununua rasilimali mbalimbali kwa bei na fuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.