Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Ukimarinate nyama au samaki kwa viungo( vitunguu saum, tangawizi, masala) ongeza mafuta kidogo na mtindi vijiko viwili inalainika na kunoga
Ukikosa vanila unaweza saga Ganda la limao bichi kuleta harufu nzuri kwenye keki au chapati za maji
Ukitaka kupika mboga ya karanga, saga karanga kisha tumia maziwa kukorogea karanga badala ya maji inanoga sana
Chapat ukiógeza kdg nazi ya unga na ukakandia maziwa chapati inakuwa zaid ya nzuri
Ukitaka chips au ndiz ziwe nzuri, chemsha kdg dk 5 ipua zichuje maji then weka kwenye freezer.
Ukitaka kukaanga toa pasha mafuta choma usisubiri zitoke barafu, utastaajab radha yake
Ukiunguza wali penyeza mapande makubwa ya pilipili hoho ndani ya wali huwa inaondoa kabisa harufu ya kuungua
Ukiona mafuta yamekuwa mengi kwenye supu au mchuzi tumia mkate wa siles kupitisha juu kufyonza
Ukitaka maharage yawe na rojo zuri,baada ya kubandika tia mafuta ya kupikia yaivie pamoja
Ukitengeneza juice ya rosela au ubuyu unaweza weka mchaichai pale unapochemsha juice inavutia sana
Chapati ikilala ukitaka kuipasha iwe lain ichove kwenye maji baridi na kuitoa then pasha kwenye frypan bila mafuta..itakuwa kama umepika leo
Ukipika matembele ukiweka tangawiz na pilipili manga yanakuwa matamu balaa
Juice ya parachichi weka ndimu au limao utaipenda
Ukitaka samaki wabichi wasivurugike au kung'ang'ania wakati wa kukaanga. Wapake unga wa ngano wakolee halafu kaanga ni watamu mno
Ukitaka kubadili pishi la wali weka kitungú maji, saumu na iliki kdg wkt wa kuchemsha maji then yachuje halafu pika wali wako unanukia balaa
Kama unatumia gesi kupikia wali, jaribu tumia maji ya baridi kupikia mchele unanoga hasa
Ukitaka utumbo uive haraka weka limao pekee bila chumvi kwa yake maji ya kwanza.
Ukikosa vanila unaweza saga Ganda la limao bichi kuleta harufu nzuri kwenye keki au chapati za maji
Ukitaka kupika mboga ya karanga, saga karanga kisha tumia maziwa kukorogea karanga badala ya maji inanoga sana
Chapat ukiógeza kdg nazi ya unga na ukakandia maziwa chapati inakuwa zaid ya nzuri
Ukitaka chips au ndiz ziwe nzuri, chemsha kdg dk 5 ipua zichuje maji then weka kwenye freezer.
Ukitaka kukaanga toa pasha mafuta choma usisubiri zitoke barafu, utastaajab radha yake
Ukiunguza wali penyeza mapande makubwa ya pilipili hoho ndani ya wali huwa inaondoa kabisa harufu ya kuungua
Ukiona mafuta yamekuwa mengi kwenye supu au mchuzi tumia mkate wa siles kupitisha juu kufyonza
Ukitaka maharage yawe na rojo zuri,baada ya kubandika tia mafuta ya kupikia yaivie pamoja
Ukitengeneza juice ya rosela au ubuyu unaweza weka mchaichai pale unapochemsha juice inavutia sana
Chapati ikilala ukitaka kuipasha iwe lain ichove kwenye maji baridi na kuitoa then pasha kwenye frypan bila mafuta..itakuwa kama umepika leo
Ukipika matembele ukiweka tangawiz na pilipili manga yanakuwa matamu balaa
Juice ya parachichi weka ndimu au limao utaipenda
Ukitaka samaki wabichi wasivurugike au kung'ang'ania wakati wa kukaanga. Wapake unga wa ngano wakolee halafu kaanga ni watamu mno
Ukitaka kubadili pishi la wali weka kitungú maji, saumu na iliki kdg wkt wa kuchemsha maji then yachuje halafu pika wali wako unanukia balaa
Kama unatumia gesi kupikia wali, jaribu tumia maji ya baridi kupikia mchele unanoga hasa
Ukitaka utumbo uive haraka weka limao pekee bila chumvi kwa yake maji ya kwanza.