Supplier wamempa 10, mimi wananidai 18Kwa hiyo walivyomlipa supplier amount waliyokudai wewe ilikuwa sawa na ya kwenye invoice? Au walivyokuletea vifaa wakasema tutakuuzia kwa bei hii ambayo ni tofauti na kwenye invoice? Au walikuambia ndo inaitwa gharama ya mkopo?