kweli huko honeymoon hakuna jipya mi kuna rafiki yangu walienda siku tatu tuu ila siku ya pili bi harusi na bwana harusi wakatundana mpaka wakaita watu kuja kugombelezea
wamejitahidi ila ukiangalia vizuri picha zao usoni mpaka shingoni kuna utofauti kama huko hawaoni tofauti yao wangekuja bongo watu wa huku faster tuu wameshatoa tofauti
hahahahaha pole my classmate sitti abbas zuberi mtevu hahaha ukiwa na miaka 18 na yule mdogo wako tuliyemuachaga kidato cha tano atakuwa na 10 maana hata yeye alikuwa mzee tuu
mi nashindwa kumwelewa huyu classmate wangu nimesoma nae 2006-2007 nsangi Uganda shule Fulani hivi inaitwa Hana mixed tulikuwa pale kidato cha tano hadi cha sita na kipindi kile tulikuwa na miaka 19 wote iweje mpaka leo mwenzangu ya kwake imerudi nyuma mwaka mmoja wakati mi yangu imeongezeka ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.