Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,154
- 447
Kwani we ni chuo?(just kidding).Nadhani una hamu ya kumsomesha zaidi.Utampata tulia waje.
Inaelekea ni daktari sasa anataka wife awe anashinda kwenye pharmacy ili asichepuke.
Kwani we ni chuo?(just kidding).Nadhani una hamu ya kumsomesha zaidi.Utampata tulia waje.
unachuo cha unesi niniNahitaji mke wa kuoa.
VIGEZO:
1) Awe mwenye taaluma ya afya(health professional)
2) Asizidi umri wa miaka 25 pia asiwe chini ya miaka 18
3)Awe na mwili wa kawaida. Wanene kupita kiasi hawana nafasi
4)Kufaulu mtihani wa form four(NECTA) kuanzia daraja C katika masomo ya Biology na Chemistry na daraja D katika Physics ni sifa zitakazo kuongezea nafasi
4)Uwe mchapakazi
5)Uwe mzima kiafya na kiakiri
6)Kama hujatulia(wambeya) hawama nafasi
7) Na sifa zingine za mwanamke kamili
VIGEZO NA MASHARITI KUZINGATIWA
Contacts. kulwamahusi@gmail.com
hahahahahha kaka unatafuta nesi wa kuajiri au mke!!?
Hicho kimoja (F ya physics) kimekuangusha dada! Lakin bado una nafasi endapo utarudia mtihani wako ili kutafuta pass ya physics