Viwanja vya Honey moon Tanzania tu

Viwanja vya Honey moon Tanzania tu

Nayasikiaga tu hayo makitu hata sielewi ngoja niulizie nitaleta mrejesho
 
kweli huko honeymoon hakuna jipya mi kuna rafiki yangu walienda siku tatu tuu ila siku ya pili bi harusi na bwana harusi wakatundana mpaka wakaita watu kuja kugombelezea

duh kule ni kwenda na laptop yenye movie na camera kupiga wanyama ndiyo maana nilisema mbugani
 
USD 3,500 nyingi sanaa kwa Dar Serena..the .most xpnsiv nahisi ni 2,500 huko znz

hapana zanzibar 2500 huwezi kulala hata sehemu moja, pia hoteli za gharama zipo lakini maeneo ya utalii, ipo kenpisk, renco na fumba ndio kuna gharama nyingi zaidi
 
Yaani Honeymoon mwezi, you mean $ 3500 x 30 = Tshs. 3500 x 30 x 1711.50 = 179,707,500 approx. Tshs. 0.18 billion?
yap yap, ila kuna bei ya chini kabsa..... hiv wanakujaga wale wa 1 night stand... $450..... kwan mmeoana ili iweje si mkule maisha hahhahaaahha tumia pesa ww! watu wanalipa hadi ya mwaka mzma, unashangaa mwez
 
Hahahahaha! Ukweli sana!

Matema Beach! Nasikia kuzuri. Naenda December hii. Mimi huwa sisubirii honey moon. Kila mwaka mara 2 au 1 lazima twende sehem na muke!

matema safi sana....ila kuna movement za kutosha na mashirika mengi hufanyia mikutano yao pale.kama hiyo haiwasumbui basi matema ni poa
 
Back
Top Bottom