Recent content by p emy

  1. p emy

    Mc Pilipili utanisamehee kwa ukweli huu "huna kipaji cha kuchekesha"

    Kuchekesha ni kipaji, si kuongea sanaaaa... Ubunifu muhimu
  2. p emy

    Wanafunzi wa kike wakutwa wakivuta bangi na viroba, walimu wapeleka kwenye mitandao

    Tusubiri matamko ya mawaziri, bila kukemea walimu wataendelea kutuletea vituko mitandaoni. natamani jambo hili lisipandikize misingi ya chuki wala simanzi baina ya walimu, serikali na Jamii.
  3. p emy

    Watanzania waliopo nje ya nchi watapataje vitambulisho vya Taifa?

    Haina shida, uhakiki endelevu.
  4. p emy

    Mazishi Ya Mzee Aboud Jumbe Mwinyi Leo Zanzibar

    Inna lilah wainnailah rajiun!
  5. p emy

    Mhe. Rais amesimamisha wafanyakazi kupandishwa vyeo, mbona yeye anawapandisha?

    Kwani kuna watumishi wameula? usishangae kusikia wanatoka wizara nyeti.....
  6. p emy

    Jina la Said Nassor Bagaile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla?

    Kwa government okay private je?
  7. p emy

    Mufti mfikishie salamu zetu Mh rais atapofika kama mgeni rasmi katika hilo baraza la Eid...!

    kauli zako tu zinajipambanua kuwa wewe ni mjinga tena mpumbavu msomi hawezi kuwa na argument za kipuuzi kama hizi.
  8. p emy

    Serikali yakanusha kuhusu likizo isiyo na Malipo kwa Wanaoenda Kusoma

    Mambo haya yapo ki sheria kanuni na utaratibu iweje mnaruhusu upotoshaji na mbaya zaidi habari zinatolewa kiholela kwenye social media kwa nyaraka toka kwa wakuu wa idara baadhi ya Halmashauri. Hivi wao ni akina nani wanaopotosha na kuleta taharuki kwa watumishi wa umma.
  9. p emy

    Tinde girls school

    Hatatee, Fanya maarifa mapya
  10. p emy

    Live Updates: MO Bejaia FC vs Yanga SC at Unite Maghrebine Stadium!

    Kila la heri Yanga wana michezo wote Tanzania tunawaombea heri.
  11. p emy

    Live Updates: MO Bejaia FC vs Yanga SC at Unite Maghrebine Stadium!

    Mechi saa 6 na robo usiku, inaoneshwa na ENTV na BEINSPORT
Back
Top Bottom