Makele mbele
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 280
- 132
Wana jamvi naombeni mwenye kuijua hii shule mazingira yake na maendeleo yake anijuze tafadhari. Dogo wangu kapelekwa hapo PCB ila kunamtu kanambia hiyo comb haipo pale. Mwenye kuifahamu anisaidie

Mkuu unasema ipo kijijini mazingira yake magumu nifafanulie kidogo basi ili nijue nichukue uamuzi gani mapema. Kijijini magari hayafiki, hakuna maji, shule yenyewe mazingira yake yakoje nk.kombi mpya pale hii shule ipo kijijini mazingira magumu kwa pcb pole zake
Kwann usiseme nzega... Mwanza?hyo comb. ipo na pia usafiri ni uhakika masaa 24 kwani shule hyo iko njia kuu na njia panda ya kutoka DSM to MWANZA na DSM Rwanda na Burundi via kahama. kuhusu mazingira shule inauzio na mabweni ya kutosha pia maji na nyongeza iko karibu na manispaa ya shy na mji WA kibiashara kahama. ushauri mpeleke mwanao akapate elimu bora achana na ushauri WA kitoto WA elimu za mwendokasi
Thanx mkuu kwakunipa hali halisi maana kuliko aende akapoteze muda miaka2 nibora kufanya utaratibu mbadala. Hizi comb naona wanapanga tu bora liende ila mipango thabiti yakuwawezesha vijana kutimiza ndoto zao hakuna.hiyo shule ya kata kwa hiyo combination atasumbuka i tell u
Kuna shule 49 za kata zimekuwa na A level. Hopeless, tena eti PCB! Achana na wanasiasa please watoto wao hawatawapeleka TindeMazingira ni magumu sana na ni shule changa sana, kama una uwezo kidogo usimpeleke ni kumpoteza tu bure!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kuna shule 49 za kata zimekuwa na A level. Hopeless, tena eti PCB! Achana na wanasiasa please watoto wao hawatawapeleka Tinde. Achana na Tinde utafeli kwa kiwango cha Fight For Food First Friend!...... PCB G/Studies and BAMWana jamvi naombeni mwenye kuijua hii shule mazingira yake na maendeleo yake anijuze tafadhari. Dogo wangu kapelekwa hapo PCB ila kunamtu kanambia hiyo comb haipo pale. Mwenye kuifahamu anisaidie![]()
Dah! Mkuu it means hizi zakata wanasukumiza watoto wetu wakwao wanapeleka ilboru, weruweru nk eeh!! Hawa watu niwauaji kabisa yanKuna shule 49 za kata zimekuwa na A level. Hopeless, tena eti PCB! Achana na wanasiasa please watoto wao hawatawapeleka Tinde. Achana na Tinde utafeli kwa kiwango cha Fight For Food First Friend!...... PCB G/Studies and BAM
Akili yako imegandamana km gundi sababu unafikilia kwa kutumia nanilii we nyumbuKwann usiseme nzega... Mwanza?
Brainwashed![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaha mr.brainwashedAkili yako imegandamana km gundi sababu unafikilia kwa kutumia nanilii we nyumbu