Mashukuruni kwa mawazo yenu wote mliochangia, nilifanikiwa kununua batteries mpya na kuweka ikafanikiwa na sasa naitumia vizuri tu, changamoto ni moja tu kama mnaweza kunisaidia, ni kwamba kama sijaiconnect kwenye AC outlet haiwaki ila nikiwa nimeiconnect halafu umeme ukikata inaendelea kuwa...