FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Kuna wakati huwa nawaza, hivi inakuwaje demand ipo ya kutosha lakini bado tunaagiza bidhaa nje. Mfano demand ya sukari ipo kubwa, ardhi kwa ajili ya mashamba ya miwa ipo unlimited na watu wenye uhitaji wa ajira za hicho kilimo wapo, ni kiasi cha kulima tu; ila utasikia sukari haitoshi tunaagiza nje, sasa huu ni uchawi wa wapi huu?
Hivi kwa mfano serikali kwa hasira ikapiga marufuku uagizaji wa magari toka nje kwa miaka mitano au 20 kabisa, hatutapata wawekezaji wa kuzalisha au walau ku-assemble tu magari hapa nchini?
Hebu tufumbe macho na tujaribu tuone itakuwaje, ila kitafutwe chanzo mbadala cha kodi maana haya magari ndio yanategemewa kubamizwa kodi kubwa bandarini.
=============================
Hii ndio Benz ya kwanza iliyotengenezwa mwaka 1886.
Na sasa wako hapa..
===============================
Ghana kuna mchungaji anaitwa Kantanka, anabuni na kutengeneza engine, chassis na body za magari na kuziunganisha yeye mwenyewe kwenye workshop zake hapo Ghana, na serikali inamuunga mkono kwa kununua magari yake aina ya Kantanka V8, lione mwenyewe..
________________________________
IG: @marble_na_granite
Hivi kwa mfano serikali kwa hasira ikapiga marufuku uagizaji wa magari toka nje kwa miaka mitano au 20 kabisa, hatutapata wawekezaji wa kuzalisha au walau ku-assemble tu magari hapa nchini?
Hebu tufumbe macho na tujaribu tuone itakuwaje, ila kitafutwe chanzo mbadala cha kodi maana haya magari ndio yanategemewa kubamizwa kodi kubwa bandarini.
=============================
Hii ndio Benz ya kwanza iliyotengenezwa mwaka 1886.
Na sasa wako hapa..
===============================
Ghana kuna mchungaji anaitwa Kantanka, anabuni na kutengeneza engine, chassis na body za magari na kuziunganisha yeye mwenyewe kwenye workshop zake hapo Ghana, na serikali inamuunga mkono kwa kununua magari yake aina ya Kantanka V8, lione mwenyewe..
Kampuni ya KANTAKA MOTORS yapewa msamaha wa kodi wa miaka 10
Katika juhudi ya kukuza viwanda vya ndani vya magari, serikali ya nchini Ghana imeipa likizo ya kodi ya miaka 10 kampuni ya kutengeneza magari ya mtume Osafo Kantanka ijulikanayo kama KANTANKA MOTORS. Hatua hii inalengo la kuiwezesha Ghana iweze kushindana na kampuni za magari toka Ulaya, Asia...
www.jamiiforums.com
IG: @marble_na_granite