Jitahidi kuficha upunguani wako,inamaana wewe unataalifa za nchi kuvamiwa na watu kutoka nje kuliko polisi,TISS na jeshi?kama unavyanzo vya habari vya haraka kuliko vyombo vya dola basi tukukamate utusaidie kazi.
Kumbuka mdomo uliuponza kichwa
Nilitaka nikusaidie kukuelewesha hii mifumo ya teknolojia ya computer za NEC na hofu ya wizi unavyokuja lakini nakuacha hivyohivyo maana unaonekana in mbishi wa asili wewe
Ukawa mmetuzidi hoja,maono ya taifa lijalo n.k kwa hiyo lazima tuwavuluge kwa mitusi kuwatoa kwenye hoja zenu za kuwafungua watz.
Well done uncle Ben,mwigulu na woote team mitusi
Kwahisani ya wanaccm
Mambo ya kitoto mtoto kumwambia mtoto mwenzie tunasema watoto wanacheza,lakini mambo ya kitoto mkubwa kumwambia mkubwa mwenzie hapo kuna shida.
Hoja za kitoto waambie watoto wenzio tujue mnacheza.
Mbona watu mnalalamika eti siasa ndo imetufikisha hali hii sasa tunataka mtendaji,sasa siwaelewi tulipo ni kubaya au kuzuri hadi mlalamike hamtaki mwanasiasa zaidi ya mtendaji.
Kama tulipo ni kubaya basi ccm haitufai kwa kuwa ilipewa dhamana miaka 50 na kama ni kuzuri basi magufuri hatufai...
Walitugawa kwa udini,ukabila na sasa vitisho vya Libya,Ila ni kawaida kwa jahazi linapozama kujitahidi kujinusuru hata kwa kushika kijiko ukiamini kitakuokoa
Urais wa nchi ndiyo wadhifa mkubwa katika Taifa letu. Siasa kwa nijuavyo mimi, ni kitendo cha kuongoza mambo ya watu. Kwa maana hiyo, Rais anapaswa kuwa mwanasiasa mahiri ili kuliongoza taifa na watu wake katika mambo ya ndani ya nchi na yale yahusuyo medani ya kimataifa.
Wiki iliyopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.