Nchi kuwa gizan n matokeo ya ule mkataba feki wa Edward ngoyai lowasa
waziri mkuu wa kwanza Tanzania kulazimishwa kujiudhuru kwa ufisadi na ujambazi
ndio unaosababisha nchi iwe gizan mpaka sasa
Lakin mlivyokuwa mazezeta vijana wa bavicha
Yeye huyohuyo ndo mnaemshabikia saiv
Lofa ni lofa tu
Magufuli atalikomesha jambazi liitwalo lowasa na jangili liitwalo sumaye
mkuu si mna ushahidi kua yeye ndio ameleta yote haya? pelekeni mahakamani HIVI KWA JINSI CCM MNAVYOMCHUKIA LOWASSA ALAFU ETI YEYE NDIO KASABABISHA NCHI KUA GIZANI ETI MUMUACHIE HURU ADI MUDA HUU AENDELEE KUWANYIMA USINGIZI haha lete habari nyingine ila sio hii
VIVA UKAWA!!!!