Ndugu wanajamvi kwa siku nyingi nimemuona na kumsikia jamaa huyu kwenye media. Nimejisikia vibaya zaidi siku ya jana akiwa channel ten baada ya kudiriki kulidanganya taifa.
Nilijiuliza mambo na maswali mengi moja ikiwa ni huyu jamaa amesomea wapi,walimu wake wapo na ameishi wapi?
Mtu kama huyu si mzuri kabisa na mimi naomba mdahalo naye atakama ni mkoani ila niko tayari kujq DSM. Eti Nyerere kazi yake ilikua ni uhuru na umoja. Mtu ajui ata historia ya taifa ili.
Hata the first five year development plan aijui na import-export substitution industries ajui,SIDO ata na viwanda kama MATSHUSHTA, GENERAL TYRE, WAZO, TIPA, UFI, ZZK, BUKOP nk ajui vilijengwa na nani.
Naomba mdahalo na pole pole angalau niwe mwalimu wake wa muda.